16 September, 2012

PREACHER GAZUKO KATIKA "FREE BOY"

mwanagospel rapper kutoka hapa nchini tanzania anayeitwa amos savin gazuko a.k.a preacher gazuko amefunguka kwa kusema kwamba ameandaa project inayokwenda kwa jina la FREE BOY ambapo ktk project hiyo atazungumzia maisha yake tanzu kuzaliwa mpaka sasa pamoja na misukosuko aliyokutana nayo


pia ataelezea kwani nini ameamua kuimba gospel hip hop na sio mziki wa aina nyingine pia itakuwa na categories kama zifuatavyo 1.utaanza wimbo 2 video yake 3 itaunganisha filamu kabisa
preacher gazuko ameongeza kuwa kupitia project hii mapema mwakani ataanza ziara za nchi jirani kama malawi,kenya,zambia,uganda,burundi nk
zaidi ya yote amewaomba watumishi wa Mungu wampe suport kwa ajili ya mpango huo
   

No comments:

Post a Comment