17 September, 2012

HABARI NJEMA KWA WAKAZI WA DAR ES SALAM NA VITONGOJI VYAKE

Askofu kiongozi wa makanisa ya pentecoste gospel mission (pgm church) askofu barnabas kimbe anayofuraha kuwakaribisha watu wote katika mkutano mkubwa wa injili utakao fanyika kivule jijini dar es salam tarehe 20/9/2012 hadi 30/9/2012
                                                      askofu mkuu wa pgm Barnabas Kimbe
amesema kuwa mkutano huu ni zaidi ya mji wa makimbilio kwa amesema walete wagongwa na wenye shida mbalimbali naye yesu mtenda miujiza atawaponya ameongeza kuwa wanenaji katika mkutano huo ni muinjilisti marget ambaye Mungu anamtumia kwa viwango vikubwa na mchungajl balaza wa huduma ya pgm hostel ila mnenaji mkuu ni apostle steve curtis kutoka nchini marekani ambaye mwaka wa jana ailkuja nchini tanzania na kufanya mkutano wa injlil katika viwanja vy msikate tamaa vilivyopo vingunguti shule
   apostle steve curtis kutoka nchini marekani akiwa amemshika dada aliyefahamika kwa jina la rose ambaye aliteswa na shetani kwa miaka mingi na atimaye yesu mtenda miujiza akamponya na kumweka huru katika mkutano wa injili uliofanyika mwaka jana nchini tanzania maeneo ya vingunguti
                                         watoto wakiwa wamekusanyika katika gospel crusade
                                         wamama nao hawakubaki nyuma
WAIMBAJI WATAKAO IMBA KATIKA MKUTANO HUO NI

                                                    shika ya yesu band
                                              preacher  gazuko
                                         fedrik a.ka mzee wa heshima na wengine kibao kama vile sir mbezi anointing choir,getseman choir n.k
WATU WOTE MNAKARIBISHWA..........................
                                                                                                                                                                          
                                 

                              

2 comments: