11 September, 2012

BASHANDO : NIMERUDI

jamaa anafahamika kwa jina la martin bashando ama muitwe kijana wa kuongozwa na roho kutoka kundi zima la GRG
martin bashando kushoto kulia ni peter banzi
amesema kuwa sasa ameamua kurudi rasmi katika huduma ya gospel hip hop na sasa ameachia wimbo wake wa heshimu wazazi bashando amewahi kutamba na nyimbo kama vile naongozwa na roho,punga mikono ambayo amewashirikisha bishop nicodemus shaboka na tina malego
ameongeza kuwa kwa sasa amepanga kuja kimapinduzi zaidi kwa hiyo wapenzi wa gospel hip hop wajiandae
         hii hapa chini ni video ya bashando ya wimbo wa punga mikono
              BARIKIWA KWA JINA LA YESU.......

No comments:

Post a Comment