31 August, 2012

TAMASHA LA KUBWA LA KUSIFU NA KUABUDU


Vijana wa kanisa la GLORY TEMPLE TABATA  wameamua kudhihirisha lile neno lisemalo VIJANA WANAYO NGUVU kwa kuandaa tamasha kubwa la kusifu na kuabudu kuwahi kutokea katika jiji la Dar es salaam tarehe 2/9/2012 jumapili hii























Waimbaji mahiri wa injili watakwepo kuhakikisha mbingu zinashuka na Bwana anaonekana katika maisha ya kila mmoja..waimbajiwatakaokuwepo kama vile;




                                                      THE GLORIOUS CELEBRATION
watakuwepo mahali pale kwa ajili ya kumwinua Bwana Mungu anayeishi.waimbaji wengine watakaokuwepo ni

                                               ZE GOD'Z CHOSEN RAPPERZ FAMILY






kutoka kushoto ni sir mbezi anayefuata douglas pius[dp] watatu preacher gazuko na wamwisho ni dialo anton kutoka Ze God'z chosen rapperz jumapili hii watakuwepo pale GLORY TEMPLE TABATA  pia RUNGU LA YESU kiongozi wa Ze God's chosen rapperz atakuwepo
 pia kwaya mbali mbali zitakuwepo kumsifu Bwana kama vile sayuni kutoka eagt vingungunguti kwa mchungaji martin muhokole
 bethel kwaya kutoka kiwalani kwa mchungaji elias mwakalukwa watakuwepo mahali pale
 waimbaji binafsi kama vile Lusekelo samwel,Joshua nawengine wengi watakuwepo kumsifu BWANA. mawasiliano zaidi piga simu namba 0712964193   USIKOSE BARAKA HIZI


     

No comments:

Post a Comment