Askari
wa jeshi la Polisi kikosi cha kutuliza ghasia wakiwadhibiti vijana
waliokuwa wakileta vurugu eneo la mbagala kufuatia kijana mmoja
anaesemekana anasoma kidato cha kwanza kukojolea mkojo Quraan na
kusababisha hasira kwa waisilamu hassa vijana ambao walitapakaa mitaani
na kuanza kuleta vuru.
Vijana waliosambaa mitaani na kuamsha vurugu kubwa kwenye eneo hilo la Mbagala Kizuiani.
Hapa baadhi ya waisilamu walioamua liwalo naliwe nakuamua kuwatunishia msuli polisi nakusema pigeni mpendavyo hatoki mtu.
Barabara zilikua zikiharibiwa kwa moto ulikuwa ukiwashwa na waisilamu hao wenye hasira.
Maji ya kuwasha yalikuwepo ingawa hayakuweza kuzuia vurugu hi
Askari na watuhumiwa wakivuka pamoja kwenye mtaro wa maji
Watuhumiwa wavurugu hizo wakipandishwa kwenye gari la polisi.
Picha na Mtaa kwa Mtaa Blog
Picha na Mtaa kwa Mtaa Blog
Baadhi
ya vizuizi vilivyowekwa na waislam eneo la Mbagala Kizuiani wakati wa
maandamano yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo kupinga kitabu
kitakatifu cha Koran kufanyiwa dhihaka na mtoto Emmanuel Josephat ambaye
aliitem
Polisi wakiwa katika kuhakikisha hali ya usalama inaimarishwa katika eneo la Mbagala leo
Baadhi ya magari yaliyoharibika katika maandamano ya waislam
HAMISI SALUM BABA MZAZI WA KIJANA AMBAYE MSAAFU WAKE ULIFANYIWA DHIHAKA NA EMMANUEL JOSEPHAT NA KUZUA MAANDAMANO MAKUBWA YALIYOFANYWA NA WAAISLAMU JIJINI DAR LEO.Picha na Happy Mnale
No comments:
Post a Comment